Picha zimeonyesha kundi la al-Shabaab likigawa chakula kwa wakazi wa mji Jilib katika maeneo ya Kusini mwa Somalia
Kitendo hiki kimewafanya watu wengi Kwenye mitandao ya kijamii kujiuliza jinsi kundi hili linaweza kupata chakula kingi bila kupatikana na serikali ya Somalia ama jeshi la Amison.